United Republic of Tanzania
Bodi ya Rufani ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu
MAFUNZO KWA WAJUMBE WA BODI

MAFUNZO KWA WAJUMBE WA BODI

01 Jun, 2026
MAFUNZO KWA WAJUMBE WA BODI

Mafunzo kwa Wajumbe wa Bodi ya AAAB yalifanyika ktk ukumbi wa Nashera Hotel - Morogoro mnamo tarehe 9 Desemba 2025. Mafunzo hayo yalikuwa na nia ya kuwaelekeza Wajumbe namna bora ya kutekeleza majukumu yao