United Republic of Tanzania
Bodi ya Rufani ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu
Dhamira & Dira
Dira

Kuwa chombo huru cha rufaa kinachoaminika na chenye ubora wa kipekee katika kuhimiza uhalali wa kisheria, uzingatiaji wa taratibu stahiki, haki, uwajibikaji na weledi.

 

Dhamira

Kulinda usawa na misingi ya haki katika taaluma ya uhasibu kwa kuhakikisha rufaa zinashughulikiwa kwa kutopendelea upande wowote, kwa uwazi na kwa wakati, hivyo kuimarisha uwajibikaji wa kitaaluma, utawala bora na kuendeleza imani ya umma.

Kauli Mbiu

Fusce sed tortor lobortis arcu porttitor ornare at ut mi. Phasellus bibendum, eros quis ornare ullamcorper, tortor diam suscipit elit, malesuada efficitur lorem ante eu lacus.