United Republic of Tanzania
Bodi ya Rufani ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu
HUDUMA ZA RUFAA

HUDUMA ZA RUFAA

UTARATIBU WA KUKATA RUFAA

Rufaa itawasilishwa kwa kufuata utaratibu ufuatao:

  1. Kuwasilisha Notisi ya Rufaa ndani ya siku 30 tangu tarehe ambayo uamuzi ulitolewa.
  2. Kufungua rasmi rufaa ndani ya siku 21 tangu tarehe ya kuwasilisha Notisi ya Rufaa.

NYARAKA ZA RUFAA

Rufaa itafunguliwa kwa kuwasilisha kwa Msajili nyaraka zifuatazo:

  1. Nakala ya Hati ya Sababu za Rufaa (Memorandum of Appeal).
  2. Nakala ya Kumbukumbu za Rufaa (Record of Appeal).


 

ADA ZA RUFAA

Na.

Maelezo

Mtu Binafsi (TSh)

Kampuni (TSh)

1

Ada zinazohusu Rufaa

   
 

Kuwasilisha Notisi ya Rufaa

30,000

50,000

 

Kuwasilisha Kumbukumbu za Rufaa na Hati ya Sababu za Rufaa

200,000

500,000

2

Ada zinazohusu Maombi

   
 

Kuwasilisha Chamber Summons pamoja na Hati ya Kiapo (Affidavit) au Hati ya Kiapo cha Majibu (Counter Affidavit)

30,000

50,000

3

Ada zinazohusu Mashauri ya Kuingilia Rufaa (Intervention Proceedings)

   
 

Kuwasilisha Notisi ya Kuingilia Shauri

30,000

50,000

 

Kuwasilisha Taarifa ya Kuingilia Shauri

30,000

50,000

 

Kuwasilisha Majibu kwa Taarifa ya Kuingilia Shauri

30,000

50,000

4

Ada zinazohusu Uwasilishaji wa Nyaraka

   
 

Kuwasilisha nyaraka nyingine yoyote

20,000

30,000

5

Huduma Nyingine

   
 

Kupata nakala ya uamuzi wa Bodi ya Rufani

20,000

30,000

 

Kukagua jalada la shauri

20,000

30,000