United Republic of Tanzania
Bodi ya Rufani ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu
Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara

Inachukua wiki 4 za kazi baada ya rufaa kusikizwa.

1. Wasilisha barua yako ya rufaa yenye kiambatanisho cha maamuzi ya Bodi ya NBAA

2. Ainisha maeneo ambayo unahisi uamuzi wa Bodi ya NBAA haukufanyika sahihi

 

Hapana AAAB haihusiki na Maswala yoyote kuhusu mitiani.